Habari Mpya kutoka Simba asubuhi ya leo 10.8.2018
Klabu ya Simba ya jijini Dar Es Salaam imetoa Taarifa asubuhi kupitia kurasa zake za Mitandao ya Kijamii juu ya Safari ya Simba kwenda mkoani Lindi Kuvaana na Namungo Fc.
#KibingwaZaidi Kikosi cha Simba kipo njiani kuelekea Lindi kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo FC, mchezo huu utapigwa kwenye Uwanja wa Majaliwa mkoani humo.
#KibingwaZaidi Kikosi cha Simba kipo njiani kuelekea Lindi kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo FC, mchezo huu utapigwa kwenye Uwanja wa Majaliwa mkoani humo. pic.twitter.com/Sm9ZIth2dU
— Simba SC Tanzania (@SimbaSCTanzania) August 10, 2018